2 Kings 8:12

12 aHazaeli akauliza “Kwa nini bwana wangu analia?”

Al-Yasa akajibu, “Kwa sababu najua mabaya utakayowatendea Waisraeli. Utachoma moto ngome zao, utawaua vijana wao kwa upanga, kuwatupa chini kwa nguvu watoto wachanga, na kuwatumbua wanawake wenye mimba.”

Copyright information for SwhKC